Changia Parokia
Karibu uchangie maendeleo ya parokia
Tunawaomba waamini wetu na watu wote wenye mapenzi mema kuchangia shughuli mbalimbali za maendeleo parokia yetu, hasa wakati huu tunapoendea na ujenzi wa kanisa letu.
"Kila mtu na atende kama alivyokusudia moyoni mwake, si kwa huzuni wala si kwa lazima; maana Mungu humpenda yeye atoaye kwa moyo wa ukunjufu."
2 Wakorintho 9:7
Jinsi ya kuchangia
Unaweza kuchangia kwa kutumia akaunti namba ya benki au kwa kutumia mitandao ya simu zilizo hapa chini:-
SADAKA NA UJENZI
Akaunti Namba: 00911511153801
Benki: MKOMBOZI BENKI
Jina la Akaunti: PAROKIA YA NTYUKA
Benki: MKOMBOZI BENKI
Jina la Akaunti: PAROKIA YA NTYUKA
ZAKA
Akaunti Namba: 00911511153802
Benki: MKOMBOZI BENKI
Jina la Akaunti: PAROKIA YA NTYUKA FUNGU LA KUMI
Benki: MKOMBOZI BENKI
Jina la Akaunti: PAROKIA YA NTYUKA FUNGU LA KUMI
PROJECT ACCOUNT
Akaunti Namba: 00921811153801
Benki: MKOMBOZI BANK
Jina la Akaunti: NTYUKA PARISH PROJECT ACCOUNT
Benki: MKOMBOZI BANK
Jina la Akaunti: NTYUKA PARISH PROJECT ACCOUNT
CARITAS
Akaunti Namba: 00921811153803
Benki: MKOMBOZI BANK
Jina la Akaunti: NTYUKA PARISH CARITAS ACCOUNT
Benki: MKOMBOZI BANK
Jina la Akaunti: NTYUKA PARISH CARITAS ACCOUNT