- October 7, 2021
- Habari
Waumini tuaendelea kusisitizwa kuendelea kuchukua taadhari juu ya ugonjwa wa UVIKO-19 na magonjwa mengine ya kuambukiza.
Jinsi ya kujikinga.
Ili kujikinga na magonjwa ya mlipuko/kuambukiza tunatakiwa kufuata yafuatayo:-
- Kunawa mikono kabla na baada ya kutoka kanisani
- Kukaa kwa kuzingatia umbali wa mita moja kati ya muamini moja na mwingine.
- Kuepuka kushikana mikono, kukumbatiana au kugusana