Vyama vya kitume

Utume

Vyama vya kitume

Vyama vya kitume ni mhimili mkubwa katika kukuza, kuimarisha na kukoleza imani ya wakristo wakatoliki na utekelezaji wa shughuli za kitume/uinjilishaji hapa Parokiani.Wakristo wa Parokia ya Mwenyeheri Vincenza Maria Poloni walianza kumtumikia Mungu mapema kupitia vyama mbalimbali ya kitume tangu ngazi ya Kigango. Vyama vyote vya kitume vilivyoanzishwa vinaendelea kutekeleza majukumu yao hadi leo. Baadhi ya vyama vya Kitume vilivyo hai ni hivi vifuatavyo:

Viongozi wa vyama vyote wamechaguliwa kwa kuzingatia katiba ya Halmashauri ya Walei Taifa.